KLB Early Grade Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi 1

Kitabu hiki cha Kiswahili Mazoezi ya Lugha cha Gredi ya 1 kinatumia mbinu za ujifunzaji ambazo zimefanyiwa utafiti. Mbinu hizi zitamsaidia mwanafunzi kukuza stadi za lugha ambazo hatimaye husaidia ukuzaji wa umilisi wa kimsingi, ukuzaji wa maadili na utekelezaji wa shughuli za kijamii pamoja na kuzingatia masuala mtambuko. Masuala makuu yaliyo katika kitabu hiki yametumiwa kama chombo cha kukuza stadi nne za lugha: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.

KSh 406.00

wws Maya / Pre-sale Questions Need Help? Contact Us via WhatsApp

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “KLB Early Grade Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi 1”

//
Our customer support team is here to answer your questions. Ask us anything!
👋 Hi, how can I help?