Dhambi Isiyofutika
Katika tamaduni za jamii mbalimbali sa i za za Africa kuna vyakula aina aina vinavyoliwa. Baadhi ya jamii hula kumbikumbi, nyingine nzige na nyingine funza. Ginga anapoandaliwa kitoweo cha funza, anaishtaki njaa kwa mmego wa matonge ya sima lakini hajui kwamba kitoweo chake kimetokana na funza mpaka anapochota kichwa chekundu cha funza kutoka bakulini. Kigegezi kinachomkabili kinamkosesha hamu ya kitoweo cha nyama mpaka wazazi wake wanapogundua kusononeka kwa mwanao na kumpa nasaha. Kumbe funza ni akiba wakati wa shida!
KSh 200

ACCESS & LEARN CREATIVE ARTS L/B GRADE 5 REVISED
ACCESS:TEARS OF JOY
A TO Z CHILDREN DICTIONARY OXFORD
ACCESS AND LEARN ENGLISH LB G4 REVISED
ACCESS & LEARN AGRICULTURE L/B GRADE 6 REVISED
A Fool's Money and other Stories Grade 5
ACCESS AND LEARN KISWAHILI SAHILI LB GRADE 4 REVISED



Reviews
There are no reviews yet.