Maisha Kitendawili
“Mahaba ni mithili ya kondo; yakushikapo yanakutia donda. Penzi la Farida kwa Kim limegeuka na kuwa pendo. Farida sasa katota…” Itakuwaje? Riwaya hii ya kusisimua inatuingiza katika bahari tesi ambamo asiyesimama imara huzama ji! Unapoisoma unachukuliwa na wimbi la vitushi vya hadithi iliyotambwa kwa ufundi wa kipekee. Maisha Kitendawili ni riwaya ya pili ya Dkt. John Habwe. Riwaya yake ya kwanza, Maumbile si Huja, imewafurahisha wapenzi wa fasihi ya Kiswahili, si haba. Pia, ameandika hadithi fupi kama vile “Pendo la Heba ” na “Walicheka Kicheko”. Mwandishi amejibainisha kuwa na uketo wa lugha ya Kiswahili na uelewa mpana wa matukio na mitagusano inayopitikia jamii za kisasa. Mwalimu Habwe ni mtaalamu wa Isimu katika Chuo Kikuu cha Nairobi.
KSh 514
Out of stock

BIRD'S HIGHER ENGINEERING MATHS
A Fool's Money and other Stories Grade 5
ACCESS & LEARN AGRICULTURE L/B GRADE 6 REVISED
A TO Z CHILDREN DICTIONARY OXFORD
DISTINCTION CRE L/B GRADE 5 REVISED
SPOTLIGHT:CRE LB GRADE 5 REVISED
BOOKLYST:BOBEA KATIKA KISWAHILI GRADE 5 L/B REVISED
DISTINCTION:ENGLISH L/B GRADE 5 REVISED
DISTINCTION:PRE-TECHNICAL LB G9
ACCESS AND LEARN ENGLISH LB G4 REVISED
OXFORD:PRE-TECHNICAL STUDIES LB GRADE 9
DISTINCTION:SOCIAL STUDIES LB GRADE 4 REVISED
DISTINCTION MATHEMATICS LB G2 REVISED
ACCESS AND LEARN KISWAHILI SAHILI LB GRADE 4 REVISED
EARLY LEARNING CRE FOR BEGINNERS



Reviews
There are no reviews yet.