Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine
Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi usio wa kawaida. Umeleta pamoja waandishi stadi wenye macho makali, na wanaolenga moja kwa moja kwenye kiini bila hofu yoyote. Waandishi wanaotambulika kwa haraka ni kama vile Muhammed Said Abdulla, Said A. Mohamed, Ken Walibora, Farouk Topan na wengineo. Mkusanyiko huu pia haukuacha waandishi shupavu wanaochipuka kama vile Doreen Baingana. Mohammed Khelef Ghassany na wengineo.Mkusanyiko huu umeshughulikia upana wa kimaudhui na mitindo mbalimbali ya uandishi. Isitoshe, waandishi wametumia vyema uhuru wa kisanii kwani hadithi mwanana ni kama ndoto ambayo haiwezi kulazimishwa kutii sheria hususa za ndivyo au sivyo. Kila hadithi katika mkusanyiko huu ni ya aina yake na itamsisimua, itamburudisha na kumfunza msomaji.Utangulizi wa kina umetolewa kuhusu hadithi fupi ili kuwaelewesha wasomaji jinsi utanzu huu ulivyo tofauti na tanzu nyingine za fasihi.
KSh 662
Out of stock

MENTOR:SCIENCE &TECHNOLOGY L/B GRADE 5 REVISED
AFRICA STUDY BIBLE OASIS
OXFORD:GROWING IN CHRIST GRADE 2 LB REVISED
MENTOR:KIELEKEZI CHA KISWAHILI GRADE 4 LB REVISED
Advertising 4th Edition
Diary of a Wimpy Kid Movie Diary: How Greg Heffley went Hollywood (Hard Back)
M&G:FOUNTAIN PEN 1PC
AFRICAN WISDOM 365 DAYS
MORAN:OUR WORLD SOCIAL STUDIES LB G4 REVISED
ASTERIX OBELIX AND CO.
M&G:FULL GRAPHIC PENCILS AWP357G5 2H- UPTO 14B
A ONE PHOTOCOPY PAPER A4 WHITE
MASTER ENGLISH L/B GRADE 9




Reviews
There are no reviews yet.