Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kimeandaliwa kwa ustadi kuzingatia Mtaala wa Umilisi wa Gredi ya 8. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kumudu stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi kwa njia inayoafiki kiwango chake.YaliyomoKitabu hiki cha mwanafunzi kina mazoezi na mijarabu anuwai, kama vile:-Shughuli kwa Mwanafunzi-Shughuli ya Wanafunzi Wawiliwawili-Shughuli ya Vikundi-Shughuli ya Nyumbani-Shughuli ya Ziada-Tamthmini ya Mwisho wa MadaKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina Mwongozo wa Mwalimu unaoandamana nacho ili kumwongoza mwalimu na kumpa mapendekezo ya ufunzaji.
Spotlight Kurunzi ya Kiswahili Gredi 8 (Approved)
KSh 905

ACCESS & LEARN AGRICULTURE L/B GRADE 6 REVISED
BEGINNING:CREATIVE LB GRADE 3 REVISED
ACCESS:TEARS OF JOY
ACCESS AND LEARN ENGLISH LB G4 REVISED
0XFORD: GROWING IN CHRIST W/B GRADE 2 REVISED
ACCESS AND LEARN KISWAHILI SAHILI LB GRADE 4 REVISED
A Fool's Money and other Stories Grade 5
ACCESS:MATHEMATICS LB GRADE 1 REVISED
ACCESS & LEARN CREATIVE ARTS L/B GRADE 5 REVISED
ACCESS:MATHEMATICS LB G7 REVISED
ACCESS AND LEARN: CREATIVE ARTS L/B GRADE 6 REVISED
ACCESS AND LEARN MATHS ACTIVITIES GRADE 4 LB REVISED
ACCESS:KISWAHILI SAHILI GRADE 6 LB REVISED




Reviews
There are no reviews yet.