Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine

Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi usio wa kawaida. Umeleta pamoja waandishi stadi wenye macho makali, na wanaolenga moja kwa moja kwenye kiini bila hofu yoyote. Waandishi wanaotambulika kwa haraka ni kama vile Muhammed Said Abdulla, Said A. Mohamed, Ken Walibora, Farouk Topan na wengineo. Mkusanyiko huu pia haukuacha waandishi shupavu wanaochipuka kama vile Doreen Baingana. Mohammed Khelef Ghassany na wengineo.Mkusanyiko huu umeshughulikia upana wa kimaudhui na mitindo mbalimbali ya uandishi. Isitoshe, waandishi wametumia vyema uhuru wa kisanii kwani hadithi mwanana ni kama ndoto ambayo haiwezi kulazimishwa kutii sheria hususa za ndivyo au sivyo. Kila hadithi katika mkusanyiko huu ni ya aina yake na itamsisimua, itamburudisha na kumfunza msomaji.Utangulizi wa kina umetolewa kuhusu hadithi fupi ili kuwaelewesha wasomaji jinsi utanzu huu ulivyo tofauti na tanzu nyingine za fasihi.

KSh 662.00

wws Maya / Pre-sale Questions Need Help? Contact Us via WhatsApp

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine”

//
Our customer support team is here to answer your questions. Ask us anything!
👋 Hi, how can I help?