2 1

Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)

Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 10

Kitabu hiki kina sifa zifuatazo.

*Kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi.
*Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
*Kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi.
*Kimetumia lugha nyepesi inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
*Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na kujitathmini.
*Kina tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.

Waandishi wa kitabu hiki-wane-tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la kiswahili katika shule tajika nchini Kenya.

KSh 1,250

untitled design 24

Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 10

Kitabu hiki kina sifa zifuatazo.

*Kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi.
*Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
*Kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi.
*Kimetumia lugha nyepesi inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
*Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na kujitathmini.
*Kina tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.

Waandishi wa kitabu hiki-wane-tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la kiswahili katika shule tajika nchini Kenya.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)”