Mwongozo wa Nguu za Jadi-Queenex

Mwongozo wa Nguu za Jadi ni tahakiki iliyoandikwa kwa kuzingatia mahitaji ya wasomaji, wanafunzi, walimu na watafiti wa fasihi. Mwongozo huu umetoa maelezo ya kina kuhusu ploti na msuko, dhamira na falsafa ya mwandishi, maudhui, mandhari, wahusika; sifa na umuhimu wao, mbinu na mtindo wa lugha pamoja na maswali ya marudio ambayo ni kigezo muhimu cha kutathmini uelewa wa msomaji wa riwaya ya Nguu za Jadi.

KSh 490.00

wws Maya / Pre-sale Questions Need Help? Contact Us via WhatsApp

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mwongozo wa Nguu za Jadi-Queenex”

//
Our customer support team is here to answer your questions. Ask us anything!
👋 Hi, how can I help?