Mwongozo wa Nguu za Jadi-Queenex
Mwongozo wa Nguu za Jadi ni tahakiki iliyoandikwa kwa kuzingatia mahitaji ya wasomaji, wanafunzi, walimu na watafiti wa fasihi. Mwongozo huu umetoa maelezo ya kina kuhusu ploti na msuko, dhamira na falsafa ya mwandishi, maudhui, mandhari, wahusika; sifa na umuhimu wao, mbinu na mtindo wa lugha pamoja na maswali ya marudio ambayo ni kigezo muhimu cha kutathmini uelewa wa msomaji wa riwaya ya Nguu za Jadi.
Reviews
There are no reviews yet.