Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambukoyanayokusudiwa katika mtaala. Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina:-Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma naKuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimuktadha-Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika-Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa-Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi-Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa-Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika-Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.
OUP Kiswahili Fasaha Grade 8 (Approved)
KSh 905

100 ALIEN INVADERS
'A' Finder History & Govt Revision book
'A' Finder Biology Revision book
0XFORD: GROWING IN CHRIST W/B GRADE 2 REVISED
"A" Finder Biology Practical Manual
Chozi Langu (KLB)
A GALLERY OF EAST AFRICAN BIRDS
CPA ADV BUSINESS DATA ANALYTICS W/B
Collins French Dictionary and Grammar Paper Back
Systems Theory & Management Info Systm.-Sal
TECHNICAL DRAWING SET SMALL
TECHNICAL DRAWING SET BIG
The Theory of Hospitality and Catering Thirteenth Edition
WHEATERS FUNCTIONAL HISTOLOGY BY CHURCHILL
TROUNCES CLINICAL PHARMACOLOGY 19TH ED
THE FOUNDATION BEAUTY THERAPY 2
SUCESS IN PRINCIPLE OF ACCOUNTING 3RD ED
Certificate Business Studies Form 2




Reviews
There are no reviews yet.