Queenex Bata Wa Sada na Hadithi Nyingine
Kumbo hili la hadithi za kupendeza zenye mguso wa Kiafrika tena za kifoniki lina jumla ya hadithi kumi na sita. Kila hadithi inaanza kwa kutanguliza sauti lengwa, vianzio, maneno teule, na maneno yenye urari. Hadithi hizi zinalenga kurahisisha ufunzaji wa stadi maalum za usomaji. Msururu huu utamsaidia msomaji kukuza stadi za usomaji darasani na kupalilia tabia ya kusoma maktabani na katika mazingira mbalimbali ikiwemo nyumbani na hivyo kukuza stadi za maisha na maadili.
KSh 290
Out of stock

DOLLAR SP-10 FOUNTAIN PEN 1PC
MY SMART CHILD LANGUAGE LEVEL1
DELI HIGHLIGHTER 1PC
MORAN:STADI ZA KISWAHILI LB GRADE 3 REVISED
DOLA PEN BLUE 1PC




Reviews
There are no reviews yet.