Safari ya Mabwe

Tausi na nduguye Majuto ambao ni machokoraa wanagundua chombo cha ajabu kwenye biwi la taka. Wanapoingia ndani hawatoki tena. Wanatekwa nyara na viumbe wa ajabu na safari ya Mabwe inaanza, safari ya kuelekea sayari ya Mirihi. le vijana hawa watafanikiwa kurejea duniani? Safari ya Mabwe ni hadithi ambayo imesukwa kwa utaalamu usio kifani. Hebu fungua ukurasa wa kwanza uanze kusoma.

KSh 320

wws Maya / Pre-sale Questions Need Help? Contact Us via WhatsApp

untitled design 24

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Safari ya Mabwe”

//
Our customer support team is here to answer your questions. Ask us anything!
👋 Hi, how can I help?