JKF Nyota ya Kiswahili Gredi 7 (Approved)
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya kiada kwa Gredi ya Saba. Kitawafaa mno wanafunzi wa daraja ya chini ya sekondari. Kimeandikwa kuambatana na mtaala mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanofunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza maarubu ya mtaala wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
KSh 522
Out of stock

ANGELS OF THE WILD
ACCESS:TEARS OF JOY
A MAP OF GREATER NAIROBI
A PASSAGE TO CONGO
A GALLERY OF EAST AFRICAN BIRDS




Reviews
There are no reviews yet.