KLB Visionary Kiswahili – Mwalimu Gredi 6 (Approved)
KLB Visionary Kiswahili Gredi ya Sita (Mwongozo wa Mwalimu) kimechapishwa kwa kuzingatia MTaala wa Kiumilisi wa mwaka wa 2021 wa masomo ya shule za msingi Gredi ya Sita kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala Nchini Kenya (KICD). Mwongozo huu umechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwalimu kuelekeza na kufunza lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.

 A+ Revision KCSE CRE
A+ Revision KCSE CRE						 'A' Finder Mathematics Revision book
'A' Finder Mathematics Revision book						







Reviews
There are no reviews yet.