Azizi na majasusi chipukizi wenzake wamepata ufadhili wa kuzuru na kupiga kambi katika mbuga ya wanyama ya Kito. Huko, wanagundua kuwa kuna njama ya kuwinda vifaru waliohamishwa katika mbuga hiyo. Wanaamua kufanya uchunguzi ili kuwafichua na kuwanasa mgjangili. Je, vijana hawa chipukizi watawezaje kukabiliana na majangili waliojihami? Je, juhudi zao zitazaa matunda?Kitabu hiki kinalenga kunoa ubunifu, uwazaji kina,ushirikiano pamoja na kujiamini miongoni mwa wasomaji lengwa. Vilevile, kinakuza utunzaji wa wanyama wa porini na mazingira kwa jumla jinsi inavyopendekezwa_ katika masomo kama vile Kiswahili, Agriculture na Social Studies.
Made Familiar: Safari hatari Level 8
KSh 404
Out of stock

"A" Finder Biology Practical Manual
0XFORD: GROWING IN CHRIST W/B GRADE 2 REVISED
'A' Finder Geography Revision book
102 FAVORITE STORIES FROM THE BIBLE
'A' Finder Physics Revision book
KARTASI SKETCH PAD A4 REF:161



Reviews
There are no reviews yet.