Queenex Chakula cha Biko na Hadithi Nyingine 1C
Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya kwanza na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
– Usafi wa mwili
– Usafi wa mazingira
– Vyakula vya kiasilia
– Shuleni
KSh 290

DISTINCTION:CREATIVE ARTS AND SPORTS LB G9
Moran Pearls: Black Madonna
BINDER CLIPS 25MM BLACK 1PC
A+ Revision KCSE Biology
'A' Finder Biology Revision book
Bizarre Bazaar
Queenex Paka Wa Zena na Hadithi Nyingine 2C
'A' Finder Mathematics Revision book
BROWN PAPER ROLL LAMINATED
MENTOR:SCIENCE &TECHNOLOGY L/B GRADE 5 REVISED
A5 EXERCISE BOOK 96PGS SQUARE
STAEDTLER PENCIL 3B
Artist of the Floating World - Setbook (Longhorn)
AFRICAN WISDOM 365 DAYS
BERY AND MINA
CRAYOLA COLORED PENCILS FULL SIZE *12
ASTERIX AND THE CHIEFTANS SHIELD
A TO Z CHILDREN DICTIONARY OXFORD
ASTERIX AND THE BANQUET




Reviews
There are no reviews yet.