Queenex Nana na Vinyau na Hadithi Nyingine 1B
Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya kwanza na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
– Mwili wangu
– Familia
– Siku za wiki
KSh 290

A GALLERY OF EAST AFRICAN BIRDS
Bookmark Mathematical Activities PP1 (Appr)
102 FAVORITE STORIES FROM THE BIBLE
A PASSAGE TO CONGO




Reviews
There are no reviews yet.