Queenex Nchore Mshindi na Hadithi Nyingine
Kumbo hili la hadithi za kupendeza zenye mguso wa Kiafrika tena za kifoniki lina jumla ya hadithi kumi na sita. Kila hadithi inaanza kwa kutanguliza sauti lengwa, vianzio, maneno teule, na maneno yenye urari. Hadithi hizi zinalenga kurahisisha ufunzaji wa stadi maalum za usomaji. Msururu huu utamsaidia msomaji kukuza stadi za usomaji darasani na kupalilia tabia ya kusoma maktabani na katika mazingira mbalimbali ikiwemo nyumbani na hivyo kukuza stadi za maisha na maadili.
KSh 290
Out of stock

0XFORD: GROWING IN CHRIST W/B GRADE 2 REVISED
"A" Finder Biology Practical Manual
'A' Finder History & Govt Revision book
102 FAVORITE STORIES FROM THE BIBLE
'A' Finder Biology Revision book
A GALLERY OF EAST AFRICAN BIRDS
FUNBO:POSTER COLOUR SET * 12




Reviews
There are no reviews yet.