Queenex Sokwe Sokoni na Hadithi Nyingine 3C
Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Tatu na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
– Dukani
– Ndege nimpendaye
– Sokoni
KSh 290

LADYBIRD:PETER & JANE 11B
100 ALIEN INVADERS
KAMWE SI MBALI TENA
AFRICAN WISDOM 365 DAYS
LADYBIRD:PETER & JANE 4A
WAKATI WA KUCHEZA A2
ACCESS:TEARS OF JOY
LADYBIRD:PETER & JANE 11B
LADYBIRD:PETER & JANE 3B
A MAP OF GREATER NAIROBI




Reviews
There are no reviews yet.