Vioja vya Musa 8b

Fumbo Musa ni kijana anayetoka katika familia maskini. Hata hivyo. mwajiri wa baba yake anaamua kumlipia karo ili asomee shule ya bweni ya Kaachonjo. Shuleni anakumbwa na hali ngumu kwa kuwa wanafunzi wengi wanotoka katika familia za walalaheri. Kutokana na bidii masomoni na uadilifu, Musa anateuliwa kuwa kiranja mkuu. Hata hivyo, cheo hiki hakimpi furaha kwani anateuliwa na kuchekwa kwa sababu ya umaskini wa familia yao. Musa anashawishika kushiriki maovu ili kujipatia hela za kujistarehesha shuleni. Jambo hili linamzushia balaa, vioja na mikasa …

KSh 406.00

wws Maya / Pre-sale Questions Need Help? Contact Us via WhatsApp

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Vioja vya Musa 8b”

//
Our customer support team is here to answer your questions. Ask us anything!
👋 Hi, how can I help?